Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 4:40 - Swahili Revised Union Version

40 Akawaambia, Mbona mmekuwa waoga? Hamna imani bado?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Mbona mnaogopa? Je, bado hamna imani?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Mbona mnaogopa? Je, bado hamna imani?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Kisha Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Mbona mnaogopa? Je, bado hamna imani?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Isa akawaambia wanafunzi wake, “Kwa nini mnaogopa hivyo? Je, bado hamna imani?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Isa akawaambia wanafunzi wake, “Kwa nini mnaogopa hivyo? Je, bado hamna imani?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

40 Akawaambia, Mbona mmekuwa waoga? Hamna imani bado?

Tazama sura Nakili




Marko 4:40
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanzi uliopondeka hatauvunja, wala utambi utokao moshi hatauzima; atatoa hukumu kwa uaminifu.


Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; na katika mito, haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza.


Mara Yesu akanyosha mkono wake, akamshika, akamwambia, Ewe mwenye imani haba, mbona uliona shaka?


Naye Yesu akafahamu, akawaambia, Mbona mnabishana ninyi kwa ninyi, enyi wa imani haba, kwa sababu hamna mikate?


Basi, ikiwa Mungu huyavika hivi majani ya kondeni, yaliyopo leo, na kesho hutupwa katika tanuri, je! Hatazidi sana kuwavika ninyi, enyi wa imani haba?


Akawaambia, Mbona mmekuwa waoga, enyi wa imani haba? Mara akaondoka, akazikemea pepo na bahari; kukawa shwari kuu.


Wakaingiwa na hofu kuu, wakaambiana, Ni nani huyu, basi, hata upepo na bahari humtii?


Akawaambia, Imani yenu iko wapi? Wakaogopa, wakamaka, wakisema wao kwa wao, Ni nani huyu basi hata anaamuru upepo na maji, navyo vyamtii?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo