Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 3:25 - Swahili Revised Union Version

25 Usiogope hofu ya ghafla, Wala uharibifu wa waovu utakapofika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 Usiogope juu ya tishio la ghafla, wala shambulio kutoka kwa waovu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 Usiogope juu ya tishio la ghafla, wala shambulio kutoka kwa waovu,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 Usiogope juu ya tishio la ghafla, wala shambulio kutoka kwa waovu,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 Usiogope maafa ya ghafula au maangamizi yanayowapata waovu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 Usiogope maafa ya ghafula au maangamizi yanayowapata waovu,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

25 Usiogope hofu ya ghafla, Wala uharibifu wa waovu utakapofika.

Tazama sura Nakili




Methali 3:25
22 Marejeleo ya Msalaba  

Hataogopa habari mbaya; Moyo wake u imara ukimtumainia BWANA.


Namna gani wameangamizwa punde! Wakafutiliwa mbali kwa vitisho.


Hutaogopa hatari za usiku, Wala mshale urukao mchana,


Hofu yenu ifikapo kama tufani, Na msiba wenu ufikapo kama kisulisuli, Dhiki na taabu zitakapowafikia.


Utathibitika katika haki; utakuwa mbali na kuonewa, kwa maana hutaogopa; na mbali na hofu, kwa maana haitakukaribia.


Bali wataketi kila mtu chini ya mzabibu wake, na chini ya mtini wake; wala hapana mtu atakayewatia hofu; kwa kuwa kinywa cha BWANA wa majeshi kimesema hivi.


Nami nitapiga kambi yangu pande zote za nyumba yangu ili kuwapinga adui, mtu awaye yote asipite ndani yake wala kurudi; wala mtu aoneaye hatapita tena kati yao; kwa maana sasa nimeona kwa macho yangu.


Basi hapo mtakapoliona chukizo la uharibifu, lile lililonenwa na nabii Danieli, limesimama katika patakatifu (asomaye na afahamu),


Nanyi mtasikia habari za vita na tetesi za vita; angalieni, msitishwe; maana hayo hayana budi kutukia; lakini ule mwisho bado.


Akawaambia, Mbona mmekuwa waoga? Hamna imani bado?


Nanyi mtakaposikia habari za vita na fitina, msitishwe; maana, hayo hayana budi kutukia kwanza, lakini ule mwisho hauji upesi.


Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu, niaminini na mimi.


Lakini hata mkiteswa kwa sababu ya kutenda haki, mna heri. Msiogope kutisha kwao, wala msifadhaike; bali mtakaseni Kristo Bwana mioyoni mwenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo