Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 3:11 - Swahili Revised Union Version

Mwanangu, usidharau kuadhibiwa na BWANA, Wala usione ni taabu kurudiwa naye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwanangu, usidharau adhabu ya Mwenyezi-Mungu, wala usiudhike kwa maonyo yake;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwanangu, usidharau adhabu ya Mwenyezi-Mungu, wala usiudhike kwa maonyo yake;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwanangu, usidharau adhabu ya Mwenyezi-Mungu, wala usiudhike kwa maonyo yake;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwanangu, usidharau adhabu ya Mwenyezi Mungu na usichukie maonyo yake,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mwanangu, usiidharau adhabu ya bwana na usichukie kukaripiwa naye,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwanangu, usidharau kuadhibiwa na BWANA, Wala usione ni taabu kurudiwa naye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 3:11
12 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini sasa haya yamekufikia wewe, nawe wafa moyo; Yamekugusa, nawe wafadhaika.


Tazama, yu heri mtu yule Mungu amwadhibuye; Kwa hiyo usidharau kurudiwa na huyo Mwenyezi.


Ee BWANA, heri mtu yule umwadibuye, Na kumfundisha kwa sheria yako;


Ukizimia siku ya taabu, Nguvu zako ni chache.


Ila tuhukumiwapo, twarudiwa na Bwana, isije ikatupasa adhabu pamoja na dunia.


Kwa sababu hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii, kwa jinsi tulivyopata rehema, hatulegei;


Nawe fikiri moyoni mwako, ya kuwa kama vile baba amrudivyo mwanawe, ndivyo BWANA, Mungu wako, akurudivyo.


Maana mtafakarini sana yeye aliyeyastahimili upinzani mkuu namna hii ya watendao dhambi juu ya nafsi zao, msije mkachoka, mkizimia mioyoni mwenu.


Wote niwapendao mimi nawakemea, na kuwarudi; basi uwe na bidii, ukatubu.