Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 24:10 - Swahili Revised Union Version

10 Ukizimia siku ya taabu, Nguvu zako ni chache.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Ukifa moyo wakati wa shida, basi wewe ni dhaifu kweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Ukifa moyo wakati wa shida, basi wewe ni dhaifu kweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Ukifa moyo wakati wa shida, basi wewe ni dhaifu kweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Ukikata tamaa wakati wa taabu, jinsi gani nguvu zako ni kidogo!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Ukikata tamaa wakati wa taabu, jinsi gani nguvu zako ni kidogo!

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Ukizimia siku ya taabu, Nguvu zako ni chache.

Tazama sura Nakili




Methali 24:10
11 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini sasa haya yamekufikia wewe, nawe wafa moyo; Yamekugusa, nawe wafadhaika.


Wala isizimie mioyo yenu, wala msiiogope habari itakayosikiwa katika nchi; maana habari itakuja mwaka mmoja, na baadaye mwaka wa pili habari itakuja, na udhalimu katika nchi, mwenye kutawala akishindana na mwenye kutawala.


Kwa maana wanafunzi wake wamekwenda mjini kununua chakula.


Kwa sababu hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii, kwa jinsi tulivyopata rehema, hatulegei;


Basi naomba msikate tamaa kwa sababu ya dhiki zangu kwa ajili yenu, zilizo utukufu wenu.


Tena maofisa na waseme zaidi na watu, wawaambie, Ni mtu gani aliye hapa tena mwenye hofu na moyo mnyonge? Aende akarudi nyumbani kwake, isije mioyo ya nduguze ikayeyuka mfano wa moyo wake.


Ninapajua ukaapo, ndipo penye kiti cha enzi cha Shetani; nawe unalishika sana jina langu, wala hukuikana imani yangu, hata katika siku za Antipa shahidi wangu, mwaminifu wangu, aliyeuawa kati yenu, hapo akaapo Shetani.


tena ulikuwa na subira na kuvumilia kwa ajili ya jina langu, wala hukuchoka.


Ndipo Daudi aliposema moyoni mwake, Siku moja, basi, mimi nitaangamia kwa mkono wa Sauli; hakuna jema zaidi kwangu kuliko kukimbia mpaka nchi ya Wafilisti; naye Sauli atakata tamaa kunihusu, asinitafute tena kote mipakani mwa Israeli; hivyo nitaokoka katika mikono yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo