2 Wakorintho 4:1 - Swahili Revised Union Version1 Kwa sababu hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii, kwa jinsi tulivyopata rehema, hatulegei; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema1 Basi, Mungu, kwa huruma yake, ametukabidhi kazi hii na hivyo hatufi moyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND1 Basi, Mungu, kwa huruma yake, ametukabidhi kazi hii na hivyo hatufi moyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza1 Basi, Mungu, kwa huruma yake, ametukabidhi kazi hii na hivyo hatufi moyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu1 Kwa hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii kwa rehema za Mungu, hatukati tamaa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu1 Kwa hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii kwa rehema za Mungu, hatukati tamaa. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI1 Kwa sababu hiyo, kwa kuwa tuna huduma hii, kwa jinsi tulivyopata rehema, hatulegei; Tazama sura |