Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 29:9 - Swahili Revised Union Version

Mwenye hekima akijadiliana na mpumbavu; Akikasirika au akicheka, pia hapana raha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenye hekima akibishana na mpumbavu, mpumbavu huwaka hasira na kucheka bila kutulia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenye hekima akibishana na mpumbavu, mpumbavu huwaka hasira na kucheka bila kutulia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenye hekima akibishana na mpumbavu, mpumbavu huwaka hasira na kucheka bila kutulia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenye hekima akienda mahakamani na mpumbavu, mpumbavu hukasirika na kudhihaki, wala hakuna amani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama mwenye hekima akienda mahakamani na mpumbavu, mpumbavu hukasirika na kudhihaki, wala hakuna amani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwenye hekima akijadiliana na mpumbavu; Akikasirika au akicheka, pia hapana raha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 29:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Afadhali mtu akutwe na dubu jike aliyenyang'anywa watoto wake, Kuliko na mpumbavu katika upumbavu wake.


Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye.


Wamwagao damu humchukia mtu mkamilifu; Bali wenye haki humtunza nafsi yake.


Watu wenye dharau huwasha mji moto; Bali wenye hekima hugeuzia mbali ghadhabu.


Mwanzo wa maneno ya kinywa chake ni upuuzi; na mwisho wa usemi wake ni wazimu wenye hatari.


Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.