Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 26:22 - Swahili Revised Union Version

Maneno ya mchongezi ni kama vitoweo. Nayo hushukia pande za ndani za tumbo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maneno ya msengenyaji ni kama kitoweo; hushuka mpaka ndani kabisa tumboni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maneno ya msengenyaji ni kama kitoweo; hushuka mpaka ndani kabisa tumboni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maneno ya msengenyaji ni kama kitoweo; hushuka mpaka ndani kabisa tumboni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu; huingia sehemu za ndani sana za mtu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu; huingia sehemu za ndani sana za mtu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maneno ya mchongezi ni kama vitoweo. Nayo hushukia pande za ndani za tumbo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 26:22
4 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno ya mchongezi ni kama vitoweo; Nayo hushukia pande za ndani za tumbo.


Mwenye udaku hufunua siri; Basi, usishirikiane naye afunuaye midomo yake sana.


Wasingiziaji wamekuwamo ndani yako, ili kumwaga damu; na ndani yako wamekula juu ya milima; kati yako wamefanya uasherati.


Usiende huku na huko katikati ya watu wako, kama mchongezi; wala usijifaidi kwa damu ya jirani yako; mimi ndimi BWANA.