Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 25:11 - Swahili Revised Union Version

Neno linenwalo wakati ufaao, Ni kama machungwa katika vyano vya fedha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Neno lisemwalo wakati unaofaa, ni kama nakshi za dhahabu juu ya madini ya fedha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Neno lisemwalo wakati unaofaa, ni kama nakshi za dhahabu juu ya madini ya fedha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Neno lisemwalo wakati unaofaa, ni kama nakshi za dhahabu juu ya madini ya fedha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Neno lisemwalo kwa wakati ufaao ni kama matunda ya mtofaa ya dhahabu yaliyowekwa kwenye vijalizo vya fedha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Neno lisemwalo kwa wakati ufaao ni kama matunda ya mtofaa ya dhahabu yaliyowekwa kwenye vijalizo vya fedha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Neno linenwalo wakati ufaao, Ni kama machungwa katika vyano vya fedha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 25:11
8 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno yako yamemtegemeza huyo aliyekuwa anaanguka, Nawe umeyaimarisha magoti manyonge.


Mtu hulifurahia jibu la kinywa chake; Na neno linenwalo wakati wa kufaa ni jema kama nini!


Aibusu midomo atoaye jawabu la haki.


Yeye asikiaye asije akakutukana; Na aibu yako isiondoke.


Huyo Mhubiri akachunguza ili apate kuona maneno yapendezayo, na yale yaliyoandikwa kwa unyofu, yaani, maneno ya kweli.


Bwana MUNGU amenipa ulimi wa hao wafundishwao, nipate kujua jinsi ya kumtegemeza kwa maneno yeye aliyechoka, huniamsha asubuhi baada ya asubuhi; huniamsha, sikio langu lipate kusikia kama watu wafundishwao.


Mtu mwema katika akiba njema hutoa mema; na mtu mbaya katika akiba mbaya hutoa mabaya.


Basi Daudi akapokea mkononi mwake vitu vile alivyomletea; akamwambia, Haya! Kwea kwa amani kwenda nyumbani kwako; tazama, nimeisikiliza sauti yako, nami nimelikubali ombi lako.