Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mhubiri 12:10 - Swahili Revised Union Version

10 Huyo Mhubiri akachunguza ili apate kuona maneno yapendezayo, na yale yaliyoandikwa kwa unyofu, yaani, maneno ya kweli.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Mhubiri alijitahidi kupata maneno ya kupendeza, akaandika kwa ufasaha maneno ya kweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Mhubiri alijitahidi kupata maneno ya kupendeza, akaandika kwa ufasaha maneno ya kweli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Mhubiri alijitahidi kupata maneno ya kupendeza, akaandika kwa ufasaha maneno ya kweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Mhubiri alitafiti ili kupata maneno sahihi na kila alichoandika kilikuwa sawa na kweli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Mhubiri alitafiti ili kupata maneno sahihi na kila alichoandika kilikuwa sawa na kweli.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Huyo Mhubiri akachunguza ili apate kuona maneno yapendezayo, na yale yaliyoandikwa kwa unyofu, yaani, maneno ya kweli.

Tazama sura Nakili




Mhubiri 12:10
14 Marejeleo ya Msalaba  

Midomo ya mwenye haki huyajua yatakayokubaliwa; Bali kinywa chao wasio haki hunena ukaidi.


Mtu hulifurahia jibu la kinywa chake; Na neno linenwalo wakati wa kufaa ni jema kama nini!


Ushauri mbaya ni chukizo kwa BWANA; Bali maneno yapendezayo ni safi.


Maneno ya Mhubiri mwana wa Daudi, mfalme katika Yerusalemu


Mimi, Mhubiri, nilikuwa Mfalme wa Israeli katika Yerusalemu.


Amin, amin, nakuambia kwamba, Lile tulijualo tunalinena, na lile tuliloliona tunalishuhudia; wala ushuhuda wetu hamwukubali.


kwa sababu ya tumaini mlilowekewa akiba mbinguni; ambalo habari zake mlizisikia zamani kwa neno la kweli ya Injili;


Ni neno la kuaminiwa, tena lastahili kukubalika kabisa, ya kwamba Kristo Yesu alikuja ulimwenguni awaokoe wenye dhambi; ambao wa kwanza wao ni mimi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo