Mhubiri 12:10 - Swahili Revised Union Version10 Huyo Mhubiri akachunguza ili apate kuona maneno yapendezayo, na yale yaliyoandikwa kwa unyofu, yaani, maneno ya kweli. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema10 Mhubiri alijitahidi kupata maneno ya kupendeza, akaandika kwa ufasaha maneno ya kweli. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND10 Mhubiri alijitahidi kupata maneno ya kupendeza, akaandika kwa ufasaha maneno ya kweli. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza10 Mhubiri alijitahidi kupata maneno ya kupendeza, akaandika kwa ufasaha maneno ya kweli. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu10 Mhubiri alitafiti ili kupata maneno sahihi na kila alichoandika kilikuwa sawa na kweli. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu10 Mhubiri alitafiti ili kupata maneno sahihi na kila alichoandika kilikuwa sawa na kweli. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI10 Huyo Mhubiri akachunguza ili apate kuona maneno yapendezayo, na yale yaliyoandikwa kwa unyofu, yaani, maneno ya kweli. Tazama sura |