Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 25:11 - Swahili Revised Union Version

11 Neno linenwalo wakati ufaao, Ni kama machungwa katika vyano vya fedha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Neno lisemwalo wakati unaofaa, ni kama nakshi za dhahabu juu ya madini ya fedha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Neno lisemwalo wakati unaofaa, ni kama nakshi za dhahabu juu ya madini ya fedha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Neno lisemwalo wakati unaofaa, ni kama nakshi za dhahabu juu ya madini ya fedha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Neno lisemwalo kwa wakati ufaao ni kama matunda ya mtofaa ya dhahabu yaliyowekwa kwenye vijalizo vya fedha.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Neno lisemwalo kwa wakati ufaao ni kama matunda ya mtofaa ya dhahabu yaliyowekwa kwenye vijalizo vya fedha.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

11 Neno linenwalo wakati ufaao, Ni kama machungwa katika vyano vya fedha.

Tazama sura Nakili




Methali 25:11
8 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno yako yamemtegemeza huyo aliyekuwa anaanguka, Nawe umeyaimarisha magoti manyonge.


Mtu hulifurahia jibu la kinywa chake; Na neno linenwalo wakati wa kufaa ni jema kama nini!


Aibusu midomo atoaye jawabu la haki.


Yeye asikiaye asije akakutukana; Na aibu yako isiondoke.


Huyo Mhubiri akachunguza ili apate kuona maneno yapendezayo, na yale yaliyoandikwa kwa unyofu, yaani, maneno ya kweli.


Bwana MUNGU amenipa ulimi wa hao wafundishwao, nipate kujua jinsi ya kumtegemeza kwa maneno yeye aliyechoka, huniamsha asubuhi baada ya asubuhi; huniamsha, sikio langu lipate kusikia kama watu wafundishwao.


Mtu mwema katika akiba njema hutoa mema; na mtu mbaya katika akiba mbaya hutoa mabaya.


Basi Daudi akapokea mkononi mwake vitu vile alivyomletea; akamwambia, Haya! Kwea kwa amani kwenda nyumbani kwako; tazama, nimeisikiliza sauti yako, nami nimelikubali ombi lako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo