Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 24:9 - Swahili Revised Union Version

Fikira za mpumbavu ni dhambi, Na mwenye mzaha huwachukiza watu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mpango anaofikiria mpumbavu ni dhambi; mwenye dharau huchukiwa na kila mtu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mpango anaofikiria mpumbavu ni dhambi; mwenye dharau huchukiwa na kila mtu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mpango anaofikiria mpumbavu ni dhambi; mwenye dharau huchukiwa na kila mtu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mipango ya upumbavu ni dhambi, watu huchukizwa na mwenye dhihaka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mipango ya upumbavu ni dhambi, watu huchukizwa na mwenye dhihaka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Fikira za mpumbavu ni dhambi, Na mwenye mzaha huwachukiza watu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 24:9
16 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu siku zote.


BWANA akasikia harufu ya kumridhisha; BWANA akasema moyoni, Sitailaani nchi tena baada ya hayo kwa sababu ya wanadamu, maana mawazo ya moyo wa mwanadamu ni mabaya tangu ujana wake; wala sitapiga tena baada ya hayo kila kilicho hai kama nilivyofanya. 1


Watu wa kusitasita nawachukia, Lakini sheria yako naipenda.


Mwenye kiburi na kutakabari, jina lake ni mbishi; Hutenda mambo katika majivuno ya kiburi chake.


Mtupe nje mwenye dharau, na ugomvi utatoka; Naam, fitina na fedheha zitakoma.


Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.


Mtu afikiriye kutenda maovu, Watu watamwita mtundu;


Watu wenye dharau huwasha mji moto; Bali wenye hekima hugeuzia mbali ghadhabu.


Amkemeaye mwenye dharau hujipatia fedheha; Amkaripiaye mtu mbaya hujipatia aibu.


Mtu mbaya na aache njia yake, Na mtu asiye haki aache mawazo yake; Na amrudie BWANA, Naye atamrehemu; Na arejee kwa Mungu wetu, Naye atamsamehe kabisa.


Ee Yerusalemu, jioshe moyo wako usiwe na uovu, upate kuokoka. Mawazo yako mabaya yatakaa ndani yako hata lini?


Kwa maana moyoni hutoka mawazo mabaya, uuaji, uzinzi, uasherati; wizi, ushuhuda wa uongo, na matukano;


lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.


Naye Yesu, hali akijua mawazo yao, akasema, Mbona mnawaza maovu mioyoni mwenu?


Basi, tubia uovu wako huu, ukamwombe Bwana, ili ikiwezekana, usamehewe fikira hii ya moyo wako.


tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo;