Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 23:9 - Swahili Revised Union Version

Usiseme masikioni mwa mpumbavu; Maana atadharau hekima ya maneno yako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usiseme maneno yako mbele ya mpumbavu, maana atapuuza hekima ya maneno yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usiseme maneno yako mbele ya mpumbavu, maana atapuuza hekima ya maneno yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usiseme maneno yako mbele ya mpumbavu, maana atapuuza hekima ya maneno yako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usizungumze na mpumbavu, kwa maana atadhihaki hekima ya maneno yako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usizungumze na mpumbavu, kwa maana atadhihaki hekima ya maneno yako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Usiseme masikioni mwa mpumbavu; Maana atadharau hekima ya maneno yako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 23:9
17 Marejeleo ya Msalaba  

Kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu.


Toka mbele ya uso wa mpumbavu, Maana hutaona kwake midomo ya maarifa.


Lakini watu wakanyamaza kimya; wala hawakumjibu hata neno moja; maana ilikuwa amri ya mfalme, kwamba, Msimjibu neno.


Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.


Basi Mafarisayo, ambao wenyewe ni wapenda fedha, waliyasikia hayo yote, wakamdhihaki.


Wengi wao wakasema, Ana pepo huyu, tena ana wazimu; mbona mnamsikiliza?


Basi Wayahudi wakamwambia, Sasa tumeng'amua ya kuwa una pepo. Abrahamu amekufa, na manabii wamekufa; nawe wasema, Mtu akilishika neno langu, hataonja mauti milele.


Baadhi ya Mafarisayo waliokuwapo pamoja naye wakasikia hayo, wakamwambia, Je! Sisi nasi tu vipofu?


Na baadhi ya Waepikureo na Wastoiko, wenye ujuzi, wakakutana naye. Wengine wakasema, Mpuzi huyu anataka kusema nini? Wengine walisema, Anaonekana kuwa mtangaza habari za miungu migeni, kwa maana alikuwa akihubiri habari za Yesu na ufufuo.


Basi waliposikia habari za ufufuo wa wafu wengine walifanya dhihaka; wengine wakasema, Tutakusikiliza tena kuhusu habari hiyo.