Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 23:10 - Swahili Revised Union Version

10 Usiiondoe alama ya mpaka wa zamani; Wala usiingie katika mashamba ya yatima;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Usiondoe alama ya mpaka wa zamani, wala usiingilie mashamba ya yatima,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Usiondoe alama ya mpaka wa zamani, wala usiingilie mashamba ya yatima,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Usiondoe alama ya mpaka wa zamani, wala usiingilie mashamba ya yatima,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Usisogeze jiwe la mpaka wa zamani wala kunyemelea kwenye mashamba ya yatima,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Usisogeze jiwe la mpaka wa zamani wala kunyemelea kwenye mashamba ya yatima,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

10 Usiiondoe alama ya mpaka wa zamani; Wala usiingie katika mashamba ya yatima;

Tazama sura Nakili




Methali 23:10
17 Marejeleo ya Msalaba  

Umewafukuza wanawake wajane bila chochote, Na mikono ya mayatima imevunjwa.


Wako wamwondoao matitini kwa nguvu huyo asiye na baba, Na kutwaa rehani kwa maskini;


Naam, mwapenda kuwapigia kura hao mayatima, Na kufanya biashara ya rafiki yenu.


Wanamwua mjane na mgeni; Wanawaua yatima.


Usimtese mjane yeyote aliyefiwa na mumewe, wala mtoto yatima.


BWANA ataing'oa nyumba ya mwenye kiburi; Bali atauthibitisha mpaka wa mjane.


Usiiondoe alama ya mpaka wa zamani, Uliowekwa na baba zako.


BWANA asema hivi, Fanyeni hukumu na haki, mkamtoe yeye aliyetekwa katika mikono ya mdhalimu; wala msiwatende mabaya mgeni, wala yatima, wala mjane, wala kuwadhulumu, wala msimwage damu ya mtu asiye na hatia katika mahali hapa.


Maana kama mkitengeneza kabisa njia zenu na matendo yenu; kama mkihukumu hukumu ya haki kati ya mtu na jirani yake;


kama hamwonei mgeni, wala yatima, wala mjane, wala kumwaga damu isiyo na hatia mahali hapa, wala kuifuata miungu mingine kwa hasara yenu wenyewe;


tena msimdhulumu mjane, wala yatima, wala mgeni, wala maskini; wala mtu awaye yote miongoni mwenu asiwaze mabaya juu ya ndugu yake moyoni mwake.


Nami nitawakaribieni ili kuhukumu; nami sitasita kutoa ushahidi juu ya wachawi; na juu ya wazinzi, na juu ya waapao kwa uongo; juu ya wamwoneao mwajiriwa, kwa ajili ya mshahara wake, wamwoneao mjane na yatima, na kumpotosha mgeni asipate haki yake, wala hawaniogopi mimi, asema BWANA wa majeshi.


Usiiondoe alama ya mpaka wa jirani yako, waliouweka watu wa kale katika urithi wako, utakaorithi ndani ya nchi akupayo BWANA, Mungu wako, uimiliki.


Na alaaniwe aondoaye mpaka wa jirani yake. Na watu wote waseme, Amina.


Dini iliyo safi, isiyo na dosari mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo