Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 23:16 - Swahili Revised Union Version

Naam, viuno vyangu vitafurahi, Midomo yako inenapo maneno mema.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Moyo wangu utashangilia, mdomo wako utakaposema maneno yaliyo sawa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Moyo wangu utashangilia, mdomo wako utakaposema maneno yaliyo sawa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Moyo wangu utashangilia, mdomo wako utakaposema maneno yaliyo sawa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

utu wangu wa ndani utafurahi, wakati midomo yako itakapozungumza lililo sawa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

utu wangu wa ndani utafurahi, wakati midomo yako itakapozungumza lililo sawa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naam, viuno vyangu vitafurahi, Midomo yako inenapo maneno mema.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 23:16
6 Marejeleo ya Msalaba  

Moyo wako usiwahusudu wenye dhambi; Bali mche BWANA mchana kutwa;


Sikilizeni, maana nitasema yaliyo mazuri, Na kufumbua midomo yangu kutakuwa maadili.


Neno lolote lililo ovu lisitoke vinywani mwenu, bali lililo jema la kumfaa mwenye kuhitaji, ili liwape neema wanaosikia.


wala aibu wala maneno ya upuzi wala ubishi; hayo hayapendezi; bali kuwepo kushukuru.


ili niidhihirishe, kama inipasavyo kunena.


Maana twajikwaa sisi sote pia katika mambo mengi. Mtu asiyejikwaa katika kunena, huyo ni mtu mkamilifu, awezaye kuuzuia na mwili wake wote kama kwa lijamu.