Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Wakolosai 4:4 - Swahili Revised Union Version

4 ili niidhihirishe, kama inipasavyo kunena.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Basi, ombeni ili niweze kusema kama inavyonipasa na kwa namna itakayodhihirisha siri hiyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Basi, ombeni ili niweze kusema kama inavyonipasa na kwa namna itakayodhihirisha siri hiyo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Basi, ombeni ili niweze kusema kama inavyonipasa na kwa namna itakayodhihirisha siri hiyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Ombeni ili nipate kuitangaza hiyo siri kwa udhahiri kama inipasavyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Ombeni ili nipate kuitangaza Injili kwa udhahiri kama ipasavyo kunena.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

4 ili niidhihirishe, kama inipasavyo kunena.

Tazama sura Nakili




Wakolosai 4:4
10 Marejeleo ya Msalaba  

Basi sasa, Bwana, viangalie vitisho vyao; ukawajalie watumwa wako kunena neno lako kwa ujasiri wote,


Petro na mitume wakajibu, wakisema, Imetupasa kumtii Mungu kuliko wanadamu.


Basi, kwa kuwa mna tumaini la namna hii, twatumia ujasiri mwingi;


ambayo kwa ajili yake mimi ni mjumbe katika minyororo; hata nipate ujasiri katika huyo kunena jinsi inipasavyo kunena.


Nendeni kwa hekima mbele yao walio nje, mkiukomboa wakati.


Maneno yenu yawe na neema siku zote, yakikolezwa chumvi, ili mpate kujua jinsi iwapasavyo kumjibu kila mtu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo