Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 23:15 - Swahili Revised Union Version

15 Mwanangu, kama moyo wako una hekima, Moyo wangu utafurahi, naam, moyo wangu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Mwanangu, moyo wako ukiwa wenye busara, moyo wangu pia utakuwa wenye furaha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Mwanangu, moyo wako ukiwa wenye busara, moyo wangu pia utakuwa wenye furaha.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Mwanangu, moyo wako ukiwa wenye busara, moyo wangu pia utakuwa wenye furaha.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Mwanangu, kama moyo wako una hekima, basi moyo wangu utafurahi,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Mwanangu, kama moyo wako una hekima, basi moyo wangu utafurahi,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Mwanangu, kama moyo wako una hekima, Moyo wangu utafurahi, naam, moyo wangu;

Tazama sura Nakili




Methali 23:15
20 Marejeleo ya Msalaba  

Mwanangu, wenye dhambi wakikushawishi, Wewe usikubali.


Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mwana mpumbavu ni mzigo wa mamaye.


Mwana mwenye hekima humfurahisha babaye; Bali mpumbavu humdharau mamaye.


Mwanangu, kama ukiyakubali maneno yangu, Na kuyaweka akiba maagizo yangu;


Mwanangu, uwe na hekima na kunifurahisha moyo wangu; Ili nipate kumjibu anilaumuye.


Apendaye hekima humfurahisha babaye; Bali ashikamanaye na makahaba hutapanya mali.


Wanangu, yasikilizeni mausia ya baba yenu, Tegeni masikio mpate kujua ufahamu.


Naam, nitafurahi juu yao niwatendee mema, nami nitawapanda katika nchi hii kweli kweli, kwa moyo wangu wote, na kwa roho yangu yote.


BWANA, Mungu wako, yuko katikati yako shujaa awezaye kuokoa; Atakushangilia kwa furaha kuu, Atakutuliza katika upendo wake, Atakufurahia kwa kuimba.


Na tazama, wakamletea mtu mwenye kupooza, akiwa amelala kitandani; naye Yesu, alipoiona imani yao, alimwambia yule mwenye kupooza, Jipe moyo mkuu, mwanangu, umesamehewa dhambi zako.


Bali ilibidi kusherehekea na kushangilia kwa kuwa huyu ndugu yako alikuwa amekufa, naye amefufuka; alikuwa amepotea, naye ameonekana.


Hayo nimewaambia, ili furaha yangu iwe ndani yenu, na furaha yenu itimizwe.


Basi Yesu akawaambia, Wanangu, mna kitoweo? Wakamjibu, La.


Watoto wangu wadogo, nawaandikia haya ili kwamba msitende dhambi. Na kama mtu akitenda dhambi tunaye Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki,


Nilifurahi mno kwa kuwa nimewaona baadhi ya watoto wako wanaenenda katika kweli, kama vile tulivyopokea amri kwa Baba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo