Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 22:20 - Swahili Revised Union Version

Je! Sikukuandikia mambo makuu juu ya mashauri na juu ya maarifa;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nimekuandikia misemo thelathini, misemo ya maonyo na maarifa,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nimekuandikia misemo thelathini, misemo ya maonyo na maarifa,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nimekuandikia misemo thelathini, misemo ya maonyo na maarifa,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, sijakuandikia misemo thelathini, misemo ya mashauri na maarifa,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Je, sijakuandikia misemo thelathini, misemo ya mashauri na maarifa,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Je! Sikukuandikia mambo makuu juu ya mashauri na juu ya maarifa;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 22:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno ya BWANA ni maneno safi, Ni fedha iliyojaribiwa kalibuni juu ya nchi; Iliyosafishwa mara saba.


Sikilizeni, maana nitasema yaliyo mazuri, Na kufumbua midomo yangu kutakuwa maadili.


Huyo Mhubiri akachunguza ili apate kuona maneno yapendezayo, na yale yaliyoandikwa kwa unyofu, yaani, maneno ya kweli.


Nijapomwandikia sheria yangu katika amri makumi elfu, zimehesabiwa kuwa ni kitu kigeni.