Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Methali 22:20 - Swahili Revised Union Version

20 Je! Sikukuandikia mambo makuu juu ya mashauri na juu ya maarifa;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Nimekuandikia misemo thelathini, misemo ya maonyo na maarifa,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Nimekuandikia misemo thelathini, misemo ya maonyo na maarifa,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Nimekuandikia misemo thelathini, misemo ya maonyo na maarifa,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Je, sijakuandikia misemo thelathini, misemo ya mashauri na maarifa,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Je, sijakuandikia misemo thelathini, misemo ya mashauri na maarifa,

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Je! Sikukuandikia mambo makuu juu ya mashauri na juu ya maarifa;

Tazama sura Nakili




Methali 22:20
6 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno ya BWANA ni maneno safi, Ni fedha iliyojaribiwa kalibuni juu ya nchi; Iliyosafishwa mara saba.


Sikilizeni, maana nitasema yaliyo mazuri, Na kufumbua midomo yangu kutakuwa maadili.


Huyo Mhubiri akachunguza ili apate kuona maneno yapendezayo, na yale yaliyoandikwa kwa unyofu, yaani, maneno ya kweli.


Nijapomwandikia sheria yangu katika amri makumi elfu, zimehesabiwa kuwa ni kitu kigeni.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo