Hosea 8:12 - Swahili Revised Union Version12 Nijapomwandikia sheria yangu katika amri makumi elfu, zimehesabiwa kuwa ni kitu kigeni. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Hata kama ningewaandikia sheria zangu mara nyingi, wao wangeziona kuwa kitu cha kigeni tu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Hata kama ningewaandikia sheria zangu mara nyingi, wao wangeziona kuwa kitu cha kigeni tu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Hata kama ningewaandikia sheria zangu mara nyingi, wao wangeziona kuwa kitu cha kigeni tu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Niliwaandikia mambo mengi yaliyohusu sheria yangu, lakini waliziangalia kama kitu kigeni. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Nimeandika kwa ajili yao mambo mengi kuhusu sheria yangu, lakini wameziangalia kama kitu cha kigeni. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI12 Nijapomwandikia sheria yangu katika amri makumi elfu, zimehesabiwa kuwa ni kitu kigeni. Tazama sura |