Hosea 8:11 - Swahili Revised Union Version11 Kwa kuwa Efraimu ameongeza madhabahu kwa dhambi, madhabahu zimekuwa dhambi kwake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 “Watu wa Efraimu wamejijengea madhabahu nyingi, na madhabahu hizo zimewazidishia dhambi. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 “Watu wa Efraimu wamejijengea madhabahu nyingi, na madhabahu hizo zimewazidishia dhambi. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 “Watu wa Efraimu wamejijengea madhabahu nyingi, na madhabahu hizo zimewazidishia dhambi. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 “Ingawa Efraimu alijenga madhabahu nyingi kwa ajili ya sadaka za dhambi, hizi zimekuwa madhabahu za kufanyia dhambi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 “Ingawa Efraimu alijenga madhabahu nyingi kwa ajili ya sadaka za dhambi, hizi zimekuwa madhabahu za kufanyia dhambi. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI11 Kwa kuwa Efraimu ameongeza madhabahu kwa dhambi, madhabahu zimekuwa dhambi kwake. Tazama sura |