Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 22:12 - Swahili Revised Union Version

Macho ya BWANA humhifadhi mwenye maarifa; Bali huyapindua maneno ya mtu haini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu hulinda elimu ya kweli, lakini huyavuruga maneno ya waovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu hulinda elimu ya kweli, lakini huyavuruga maneno ya waovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu hulinda elimu ya kweli, lakini huyavuruga maneno ya waovu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Macho ya Mwenyezi Mungu hulinda maarifa, bali huyapinga maneno ya asiye mwaminifu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Macho ya bwana hulinda maarifa, bali huyapinga maneno ya asiye mwaminifu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Macho ya BWANA humhifadhi mwenye maarifa; Bali huyapindua maneno ya mtu haini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 22:12
17 Marejeleo ya Msalaba  

Yule mtu wa Mungu akapeleka habari kwa mfalme wa Israeli, kusema, Jihadhari, usipite mahali fulani; kwa sababu ndiko wanakoshukia Washami.


Kwa maana macho ya BWANA hukimbia kimbia duniani kote, ili ajionesha kuwa mwenye nguvu kwa ajili ya hao, waliokamilika moyo kuelekea kwake. Kwa hayo umetenda upumbavu; kwani tangu sasa utakuwa na vita.


Bali sisi tulimwomba dua Mungu wetu, tena tukaweka walinzi, mchana na usiku, kwa sababu yao, ili kuwapinga.


Ukamilifu wao wenye haki utawaongoza Bali ukaidi wao wenye fitina utawaangamiza.


Apendaye usafi wa moyo, na neema ya midomo; Mfalme atakuwa rafiki yake.


Mtu mvivu husema, Simba yuko nje; Nitauawa katika njia kuu.


lakini ikiwa imetoka kwa Mungu hamwezi kuivunja; msije mkaonekana kuwa mnapigana na Mungu.


Hapo ndipo atakapofunuliwa yule mwasi, ambaye Bwana Yesu atamwua kwa pumzi ya kinywa chake, na kumwangamiza kwa dhihirisho la kuja kwake;