Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 21:10 - Swahili Revised Union Version

Nafsi ya mtu mbaya hutamani uovu; Jirani yake hapati fadhili machoni pake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Anachopania kutenda mtu mbaya ni uovu; hata kwa jirani yake hana huruma.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Anachopania kutenda mtu mbaya ni uovu; hata kwa jirani yake hana huruma.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Anachopania kutenda mtu mbaya ni uovu; hata kwa jirani yake hana huruma.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtu mwovu hutamani sana ubaya, jirani yake hapati huruma kutoka kwake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtu mwovu hutamani sana ubaya, jirani yake hapati huruma kutoka kwake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nafsi ya mtu mbaya hutamani uovu; Jirani yake hapati fadhili machoni pake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 21:10
19 Marejeleo ya Msalaba  

Heri atendaye fadhili na kukopesha; Atengenezaye mambo yake kwa haki.


Ametoa kwa ukarimu, na kuwapa maskini, Haki yake yakaa milele, Pembe yake itatukuzwa kwa utukufu.


Huwaza maovu kitandani pake, Hujiweka katika njia mbaya; hauchukii ubaya.


Asiye haki hutamani nyavu za wabaya; Bali shina lao wenye haki huleta matunda.


Amdharauye mwenzake afanya dhambi; Bali amhurumiaye maskini ana heri.


Wafurahio kutenda mabaya; Wapendezwao na upotovu wa waovu;


Azibaye masikio yake asisikie kilio cha maskini, Yeye naye atalia, lakini hatasikiwa.


Ni afadhali kukaa katika pembe ya darini, Kuliko katika nyumba pana pamoja na mwanamke mgomvi.


Usiwaze mabaya juu ya jirani yako, Ambaye anakaa karibu nawe na kujiona salama.


Basi mambo hayo yalikuwa mifano kwetu, kusudi sisi tusiwe watu wa kutamani mabaya, kama wale nao walivyotamani.


Maana hukumu haina huruma kwake yeye asiyeona huruma. Huruma hujitukuza juu ya hukumu.


Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia.