Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 20:5 - Swahili Revised Union Version

Mashauri ya moyoni ni kama kilindi; Lakini mtu mwenye ufahamu atayateka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Fikira za mtu zimefichika kama kilindi cha maji; lakini mtu mwenye busara ajua kuzichota humo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Fikira za mtu zimefichika kama kilindi cha maji; lakini mtu mwenye busara ajua kuzichota humo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Fikira za mtu zimefichika kama kilindi cha maji; lakini mtu mwenye busara ajua kuzichota humo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Makusudi ya moyo wa mwanadamu ni maji yenye kina, lakini mtu mwenye ufahamu huyachota.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Makusudi ya moyo wa mwanadamu ni maji yenye kina, lakini mtu mwenye ufahamu huyachota.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mashauri ya moyoni ni kama kilindi; Lakini mtu mwenye ufahamu atayateka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 20:5
5 Marejeleo ya Msalaba  

Ni nani atambuaye maovu yetu? Tumepanga njama kwa werevu mwingi, Maana katika moyo wa mtu na fikira mengi yamefichika.


Maneno ya kinywa cha mtu ni kama maji ya vilindi; Kijito kibubujikacho; chemchemi ya hekima.


Mtu mvivu hataki kulima wakati wa baridi; Hivyo wakati wa mavuno ataomba, hana kitu.


Wanadamu hutangaza kila mtu hisani yake mwenyewe; Bali mtu aliye mwaminifu, ni nani awezaye kumpata?


Maana ni nani katika binadamu ayajuaye mambo ya binadamu ila roho ya binadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo na mambo ya Mungu hakuna ayafahamuye ila Roho wa Mungu.