Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 20:30 - Swahili Revised Union Version

Machubuko ya fimbo husafisha uovu, Na mapigo hufikia ndani ya mtima.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mapigo yanayoumiza ni dawa ya kuondoa uovu; viboko husafisha nafsi mpaka ndani kabisa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mapigo yanayoumiza ni dawa ya kuondoa uovu; viboko husafisha nafsi mpaka ndani kabisa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mapigo yanayoumiza ni dawa ya kuondoa uovu; viboko husafisha nafsi mpaka ndani kabisa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mapigo na majeraha huusafisha ubaya, nayo michapo hutakasa utu wa ndani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mapigo na majeraha huusafisha ubaya, nayo michapo hutakasa utu wa ndani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Machubuko ya fimbo husafisha uovu, Na mapigo hufikia ndani ya mtima.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 20:30
8 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, nitawarudi makosa yao kwa fimbo, Na uovu wao kwa mapigo.


Mpige mwenye mzaha, na mjinga atapata busara; Mwonye mwenye ufahamu, naye atatambua maarifa.


Ujinga umefungwa ndani ya moyo wa mtoto; Lakini fimbo ya adhabu itaufukuzia mbali.


Majeraha utiwazo na rafiki ni ya kweli; Bali busu la adui ni udanganyifu.


Basi, uovu wa Yakobo utatakaswa hivyo, na hayo ndiyo matunda yote ya kumwondolea dhambi yake; afanyapo mawe yote ya madhabahu kuwa kama mawe ya chokaa yaliyopondwa, hata maashera na sanamu za jua havitasimama tena.


Bali alijeruhiwa kwa makosa yetu, Alichubuliwa kwa maovu yetu; Adhabu ya amani yetu ilikuwa juu yake, Na kwa kupigwa kwake sisi tumepona.


Maana ni hakika, hao kwa siku chache waliturudi kama walivyoona vema wenyewe; bali yeye kwa faida yetu, ili tuushiriki utakatifu wake.


Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, tukiwa wafu kwa mambo ya dhambi, tuwe hai kwa mambo ya haki; na kwa kupigwa kwake mliponywa.