Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 2:4 - Swahili Revised Union Version

Ukiutafuta kama fedha, Na kuutafutia kama hazina iliyositirika;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

ukiitafuta hekima kama fedha, na kuitaka kama hazina iliyofichika;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

ukiitafuta hekima kama fedha, na kuitaka kama hazina iliyofichika;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

ukiitafuta hekima kama fedha, na kuitaka kama hazina iliyofichika;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

na ukiitafuta kama fedha na kuitafuta sana kama hazina iliyofichwa,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

na kama utaitafuta kama fedha na kuitafuta sana kama hazina iliyofichwa,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ukiutafuta kama fedha, Na kuutafutia kama hazina iliyositirika;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 2:4
20 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa siku ileile, watumwa wa Isaka wakaja wakampasha habari za kile kisima walichokuwa wamekichimba, wakamwambia, Tumeona maji.


Ambao wangojea mauti, lakini hawayapati; Na kuyachimbulia kuliko watafutavyo hazina iliyostirika;


Ndiyo maana nimeyapenda maagizo yako, Kuliko dhahabu, naam, dhahabu iliyo safi.


Nimeifurahia njia ya shuhuda zako Kana kwamba ni mali mengi.


Sheria ya kinywa chako ni njema kwangu, Kuliko maelfu ya dhahabu na fedha.


Ni za kutamanika kuliko dhahabu, Kuliko wingi wa dhahabu safi. Nazo ni tamu kuliko asali, Kuliko sega la asali.


Si afadhali kupata hekima kuliko dhahabu? Naam, yafaa kuchagua ufahamu kuliko fedha.


Naam, ukiita busara, Na kupaza sauti yako upate ufahamu;


Inunue kweli, wala usiiuze; Naam, hekima, na mafundisho, na ufahamu.


Bora hekima, basi jipatie hekima; Naam, kwa mapato yako yote jipatie ufahamu.


Nawapenda wale wanipendao, Na wale wanitafutao kwa bidii wataniona.


Kuna mtu aliye peke yake, wala hana mwenzi wake; naam, hana mwana wala ndugu; hata hivyo amali yake haina mwisho, wala macho yake hayashibi utajiri. Basi asema, Ni kwa ajili ya nani nafanya kazi, na kujinyima nafsi yangu mema? Hayo nayo ni ubatili, naam, ni taabu kubwa.


Tena ufalme wa mbinguni umefanana na hazina iliyositirika katika shamba; ambayo mtu alipoiona, aliificha; na kwa furaha yake akaenda akauza alivyo navyo vyote, akalinunua shamba lile.


Na kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu wa kiume au wa kike, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia, na kuurithi uzima wa milele.


Yule bwana akamsifu wakili asiyemwaminifu kwa vile alivyotenda kwa busara; kwa kuwa wana wa ulimwengu huu katika kizazi chao wenyewe huwa na busara kuliko wana wa nuru.