Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 18:16 - Swahili Revised Union Version

Zawadi ya mtu humpatia nafasi; Humleta mbele ya watu wakuu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Zawadi humfungulia mtu milango; huweza kumfikisha mtu mbele ya mkuu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Zawadi humfungulia mtu milango; huweza kumfikisha mtu mbele ya mkuu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Zawadi humfungulia mtu milango; huweza kumfikisha mtu mbele ya mkuu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Zawadi humfungulia njia mtoaji, nayo humleta mbele ya wakuu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Zawadi humfungulia njia mtoaji, nayo humleta mbele ya wakuu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Zawadi ya mtu humpatia nafasi; Humleta mbele ya watu wakuu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 18:16
10 Marejeleo ya Msalaba  

Tena semeni, Tazama, mtumwa wako, Yakobo, yuko nyuma yetu. Maana alisema, Nitamsuluhisha kwa zawadi inayonitangulia, baadaye nitamwona uso wake; huenda atanikubali uso wangu.


Yakobo akasema, Sivyo; nakuomba kama nimekubalika machoni pako tafadhali upokee zawadi yangu mkononi mwangu, Hakika, kuona uso wako ni kama kuuona uso wa Mungu – maana umenipokea kwa kibali kama chake.


Israeli, baba yao, akawaambia, Kama ndivyo, fanyeni hivi; twaeni tunu za nchi katika vyombo vyenu, mkamchukulie mtu huyo zawadi, zeri kidogo, na asali kidogo, ubani, na manemane, na jozi, na lozi.


Mfalme wa Shamu akasema, Haya! Basi, mimi nitampelekea mfalme wa Israeli waraka. Basi akaenda zake, akachukua mikononi mwake talanta kumi za fedha, na vipande vya dhahabu elfu sita, na mavazi kumi.


Kipawa ni kama kito cha thamani machoni pake yeye aliye nacho; Kila kigeukapo hufanikiwa.


Ajiteteaye kwanza huonekana kuwa ana haki; Lakini jirani yake huja na kumchunguza.


Watu wengi watamsihi mkuu ili awafadhili; Na kila mtu ni rafiki yake atoaye zawadi.


Kipawa cha siri hutuliza hasira; Na rushwa bindoni humliza ghadhabu kali.


Yese akatwaa punda, wa kuchukua mikate, na kiriba cha divai, na mwana-mbuzi, akampelekea Sauli kwa mkono wa Daudi mwanawe.


Na sasa zawadi hii, mjakazi wako aliyomletea bwana wangu, na wapewe vijana wamfuatao bwana wangu.