Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 14:18 - Swahili Revised Union Version

Wajinga hurithi upumbavu; Bali wenye busara huvikwa taji la maarifa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wajinga hurithi upumbavu, lakini wenye busara hutuzwa taji ya maarifa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wajinga hurithi upumbavu, lakini wenye busara hutuzwa taji ya maarifa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wajinga hurithi upumbavu, lakini wenye busara hutuzwa taji ya maarifa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mjinga hurithi upumbavu, bali wenye busara huvikwa maarifa kichwani kama taji.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mjinga hurithi upumbavu, bali wenye busara huvikwa maarifa kichwani kama taji.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wajinga hurithi upumbavu; Bali wenye busara huvikwa taji la maarifa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 14:18
12 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye aonaye hasira upesi atatenda kwa ujinga; Na mtu mwenye hila mbaya huzirwa.


Wabaya huinama mbele ya wema, Na wasio haki malangoni mwao wenye haki.


Wenye hekima wataurithi utukufu, Bali kukuzwa kwa wapumbavu ni fedheha.


Ee BWANA, nguvu zangu, ngome yangu, na kimbilio langu siku ya taabu, kwako wewe watakuja mataifa yote toka ncha za dunia, wakisema, Baba zenu hawakurithi kitu ila uongo, naam, ubatili na vitu visivyofaa.


Lakini bila shaka tutalitimiza kila neno lililotoka katika vinywa vyetu, kumfukizia uvumba malkia wa mbinguni, na kummiminia sadaka za kinywaji, kama tulivyotenda sisi, na baba zetu, na wafalme wetu, na wakuu wetu, katika miji ya Yuda, na katika njia kuu za Yerusalemu; maana wakati huo tulikuwa na chakula tele, na kufanikiwa, wala hatukuona mabaya.


Na walio na hekima watang'aa kama mwangaza wa anga; na hao waongozao wengi kutenda haki watang'aa kama nyota milele na milele.


baada ya hayo nimewekewa taji la haki, ambayo Bwana, mhukumu mwenye haki, atanipa siku ile; wala si mimi tu, bali na watu wote pia waliopenda kufunuliwa kwake.


Nanyi mfahamu kwamba mlikombolewa si kwa vitu viharibikavyo, kwa fedha au dhahabu; mpate kutoka katika mwenendo wenu usiofaa mlioupokea kwa baba zenu;


Na Mchungaji mkuu atakapodhihirishwa, mtalipokea taji la utukufu, lile lisilokauka.