Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Methali 1:21 - Swahili Revised Union Version

Hulia penye mikutano mikubwa ya watu, Mahali pa kuyaingilia malango, Ndani ya mji hutamka maneno yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

huita juu ya kuta, hutangaza penye malango ya mji:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

huita juu ya kuta, hutangaza penye malango ya mji:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

huita juu ya kuta, hutangaza penye malango ya mji:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwenye makutano ya barabara za mji zenye makelele mengi hupaza sauti, kwenye malango ya mji hutoa hotuba yake:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwenye makutano ya barabara za mji zenye makelele mengi hupaza sauti, kwenye malango ya mji hutoa hotuba yake:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hulia penye mikutano mikubwa ya watu, Mahali pa kuyaingilia malango, Ndani ya mji hutamka maneno yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Methali 1:21
9 Marejeleo ya Msalaba  

Hekima hulia kwa sauti katika njia kuu, Hupaza sauti yake katika viwanja;


Enyi wajinga, hata lini mtapenda ujinga? Na wenye dharau kupenda dharau yao, Na wapumbavu kuchukia maarifa?


Je! Hekima halii? Ufahamu hatoi sauti yake?


Karibu na malango, mahali pa kuingia mjini, Mahali pa kuyaingilia malango anapiga kelele.


Amewatuma wajakazi wake, analia, Mahali pa mjini palipoinuka sana,


Niwaambialo ninyi katika giza, lisemeni katika nuru; na msikialo kwa siri, lihubirini juu ya nyumba.


Wakamkusanyikia makutano mengi, hata akapanda katika mashua, akaketi; na ule mkutano wote wakasimama pwani.


Yesu akamjibu, Mimi nimesema na ulimwengu waziwazi; sikuzote nilifundisha katika sinagogi na katika hekalu, wakusanyikapo Wayahudi wote; wala mimi sikusema neno lolote kwa siri.


Nendeni mkasimame hekaluni mkawaambie watu maneno yote ya Uzima huu.