Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 9:26 - Swahili Revised Union Version

Habari hizi zikaenea katika nchi ile yote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Habari hiyo ikavuma sana katika nchi ile yote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Habari hiyo ikavuma sana katika nchi ile yote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Habari hiyo ikavuma sana katika nchi ile yote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Habari hizi zikaenea katika maeneo yale yote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Habari hizi zikaenea katika maeneo yale yote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Habari hizi zikaenea katika nchi ile yote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 9:26
11 Marejeleo ya Msalaba  

Na habari zake zikaenea katika Shamu yote; wakamletea wote waliokuwa wagonjwa, walioshikwa na maradhi mbalimbali na mateso, wenye pepo, na wenye kifafa, na wenye kupooza; akawaponya.


Lakini wakatoka, wakaeneza habari zake katika nchi ile yote.


Habari zake zikaenea haraka kote katika nchi zote kandokando ya Galilaya.


Lakini akatoka, akaanza kuhubiri maneno mengi, na kulitangaza lile neno, hata Yesu asiweze tena kuingia mjini waziwazi; bali alikaa nje mahali pasipokuwa na watu, wakamwendea kutoka kila upande.


Naye Mfalme Herode akasikia habari; kwa maana jina lake lilikuwa limeenea, akasema, Yohana Mbatizaji amefufuka katika wafu, na kwa hiyo nguvu hizi zinatenda kazi ndani yake.


Yesu akarudi kwa nguvu za Roho, akaendea Galilaya; habari zake zikaenea katika nchi zote za kandokando.


Habari zake zikaenea kila mahali katika nchi ile.


Lakini habari zake zikazidi kuenea, wakakutanika makutano mengi wamsikilize na kuponywa magonjwa yao.


Habari hii yake ikaenea kote katika Yudea yote, na katika nchi zote za karibu.


Kwa maana mfalme anajua habari za mambo haya, nami naweza kusema naye kwa ujasiri, kwa sababu najua sana ya kuwa hapana neno moja katika hayo asilolijua; kwa maana jambo hilo halikutendeka pembeni.