Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 9:25 - Swahili Revised Union Version

Lakini makutano walipoondoshwa, aliingia, akamshika mkono; yule msichana akasimama.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, umati wa watu ulipoondolewa, Yesu aliingia ndani, akamshika huyo msichana mkono, naye akasimama.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, umati wa watu ulipoondolewa, Yesu aliingia ndani, akamshika huyo msichana mkono, naye akasimama.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, umati wa watu ulipoondolewa, Yesu aliingia ndani, akamshika huyo msichana mkono, naye akasimama.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini watu walipokwisha kutolewa nje, akaingia mle ndani na kumshika yule binti mkono, naye akaamka.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini watu walipokwisha kutolewa nje, akaingia mle ndani na kumshika yule binti mkono, naye akaamka.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini makutano walipoondoshwa, aliingia, akamshika mkono; yule msichana akasimama.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 9:25
7 Marejeleo ya Msalaba  

Akamkaribia, akamwinua kwa kumshika mkono, homa ikamwacha, akaanza kuwatumikia.


Akamshika mkono kijana, akamwambia, Talitha, kumi; tafsiri yake, Msichana, nakuambia, Inuka.


Akamshika mkono yule kipofu, akamchukua nje ya kijiji, akamtemea mate katika macho, akamwekea mikono yake, akamwuliza, Waona kitu?


Lakini Yesu akamshika mkono akamwinua naye akasimama.


Akamshika mkono, akapaza sauti, akisema Kijana, inuka.