Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 8:22 - Swahili Revised Union Version

Lakini Yesu akamwambia, Nifuate; waache wafu wazike wafu wao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Yesu akamwambia, “Nifuate! Waache wafu wazike wafu wao.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Yesu akamwambia, “Nifuate! Waache wafu wazike wafu wao.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Yesu akamwambia, “Nifuate! Waache wafu wazike wafu wao.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Isa akamwambia, “Nifuate, uwaache wafu wawazike wafu wao.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Isa akamwambia, “Nifuate, uwaache wafu wawazike wafu wao.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini Yesu akamwambia, Nifuate; waache wafu wazike wafu wao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 8:22
17 Marejeleo ya Msalaba  

Naye akawaacha ng'ombe, akamfuata Eliya mbio, akasema, Nipe ruhusa, nakuomba, nimbusu baba yangu na mama yangu, kisha mimi nitakufuata. Akamwambia, Nenda, urudi; ni nini niliyokutendea?


Mwingine katika wanafunzi wake akamwambia, Bwana, nipe ruhusa kwanza, niende nikamzike baba yangu.


Naye Yesu alipokuwa akipita kutoka huko aliona mtu ameketi forodhani, aitwaye Mathayo, akamwambia, Nifuate. Akaondoka, akamfuata.


Na alipokuwa akipita, akamwona Lawi wa Alfayo, ameketi forodhani, akamwambia, Nifuate. Akaondoka akamfuata.


kwa kuwa huyu mwanangu alikuwa amekufa, naye amefufuka; alikuwa amepotea, naye ameonekana. Wakaanza kushangilia.


Bali ilibidi kusherehekea na kushangilia kwa kuwa huyu ndugu yako alikuwa amekufa, naye amefufuka; alikuwa amepotea, naye ameonekana.


Akamwambia mwingine, Nifuate. Akasema, Bwana, nipe ruhusa kwanza niende nikamzike baba yangu.


Akamwambia Waache wafu wawazike wafu wao; bali wewe nenda ukautangaze ufalme wa Mungu.


Kesho yake alitaka kuondoka kwenda Galilaya, naye akamwona Filipo. Yesu akamwambia, Nifuate.


Akasema neno hilo kwa kuonesha ni kwa mauti gani atakayomtukuza Mungu. Naye akiisha kusema hayo akamwambia, Nifuate.


Yesu akamwambia, Ikiwa nataka huyu akae hata nitakapokuja, imekuhusuje wewe? Wewe unifuate mimi.


Nanyi mlikuwa wafu kwa sababu ya makosa na dhambi zenu;


hata wakati ule tulipokuwa wafu kwa sababu ya makosa yetu; alitufanya kuwa hai pamoja na Kristo; yaani, tumeokolewa kwa neema.


Hivyo husema, Amka, wewe usinziaye, Ufufuke katika wafu, Na Kristo atakuangaza.


Na ninyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kutotahiriwa kwa mwili wenu, aliwafanya hai pamoja naye, akiisha kutusamehe makosa yote;


Bali, yeye asiyejizuia nafsi yake amekufa ingawa yu hai.