Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 8:21 - Swahili Revised Union Version

21 Mwingine katika wanafunzi wake akamwambia, Bwana, nipe ruhusa kwanza, niende nikamzike baba yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Kisha mtu mwingine miongoni mwa wanafunzi wake akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza niende nikamzike baba yangu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Kisha mtu mwingine miongoni mwa wanafunzi wake akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza niende nikamzike baba yangu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Kisha mtu mwingine miongoni mwa wanafunzi wake akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza niende nikamzike baba yangu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Mwanafunzi mwingine akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza nikamzike baba yangu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Mwanafunzi mwingine akamwambia, “Bwana, niruhusu kwanza nikamzike baba yangu.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

21 Mwingine katika wanafunzi wake akamwambia, Bwana, nipe ruhusa kwanza, niende nikamzike baba yangu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 8:21
10 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA wa majeshi asema hivi, ya kwamba, Watu hawa husema, Wakati wa kuijenga upya nyumba ya BWANA haujafika.


Na kila mtu aliyeacha nyumba, au ndugu wa kiume au wa kike, au baba, au mama, au watoto, au mashamba, kwa ajili ya jina langu, atapokea mara mia, na kuurithi uzima wa milele.


Yesu akamwambia, Mbweha wana pango, na ndege wa angani wana viota; lakini Mwana wa Adamu hana pa kulaza kichwa chake.


Lakini Yesu akamwambia, Nifuate; waache wafu wazike wafu wao.


Hata imekuwa, sisi tangu sasa hatumjui mtu awaye yote kwa jinsi ya mwili. Ingawa sisi tumemtambua Kristo kwa jinsi ya mwili, lakini sasa hatumtambui hivi tena.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo