Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 8:15 - Swahili Revised Union Version

Akamgusa mkono, homa ikamwacha; naye akaondoka, akawatumikia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, Yesu akamgusa huyo mama mkono, na homa ikamwacha; akasimama, akamtumikia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, Yesu akamgusa huyo mama mkono, na homa ikamwacha; akasimama, akamtumikia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, Yesu akamgusa huyo mama mkono, na homa ikamwacha; akasimama, akamtumikia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akamgusa mkono wake na homa ikamwacha, naye akainuka na kuanza kumhudumia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akamgusa mkono wake na homa ikamwacha, naye akainuka na kuanza kumhudumia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akamgusa mkono, homa ikamwacha; naye akaondoka, akawatumikia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 8:15
15 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, walipokuwa wakimzika mtu, angalia, waliona kikosi; wakamtupa yule mtu kaburini mwa Elisha; mara yule maiti alipoigusa mifupa ya Elisha, alifufuka, akasimama kwa miguu.


akanigusa kinywa changu kwa kaa hilo, akaniambia, Tazama, hili limekugusa midomo yako, na uovu wako umeondolewa, na dhambi yako imefunikwa.


nao wakamsihi waguse hata pindo la vazi lake tu; na wote waliogusa wakaponywa kabisa.


Yesu akawahurumia, akawagusa macho yao; mara wakapata kuona, wakamfuata.


Na Yesu alipofika nyumbani kwa Petro, akamwona mkwe wa Petro, mamaye mkewe, amelala kitandani akiugua homa.


Hata kulipokuwa jioni, wakamletea wengi wenye pepo; akawatoa pepo kwa neno lake, akawaponya wote waliokuwa wagonjwa,


Yesu akanyosha mkono, akamgusa, akisema Nataka; takasika. Na mara ukoma wake ukatakasika.


Na tazama, mwanamke aliyekuwa na ugonjwa wa kutoka damu muda wa miaka kumi na miwili, alikuja kwa nyuma, akaugusa upindo wa vazi lake.


Ndipo alipowagusa macho, akasema, Kwa kadiri ya imani yenu na itendeke kwenu.


Na mara walipotoka katika sinagogi, walifika nyumbani kwa Simoni na Andrea, pamoja na Yakobo na Yohana.


Naye akamhurumia, akanyosha mkono wake, akamgusa, akamwambia, Nataka, takasika.


Akamshika mkono, akapaza sauti, akisema Kijana, inuka.