Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 8:15 - Swahili Revised Union Version

15 Akamgusa mkono, homa ikamwacha; naye akaondoka, akawatumikia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Basi, Yesu akamgusa huyo mama mkono, na homa ikamwacha; akasimama, akamtumikia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Basi, Yesu akamgusa huyo mama mkono, na homa ikamwacha; akasimama, akamtumikia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Basi, Yesu akamgusa huyo mama mkono, na homa ikamwacha; akasimama, akamtumikia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Akamgusa mkono wake na homa ikamwacha, naye akainuka na kuanza kumhudumia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Akamgusa mkono wake na homa ikamwacha, naye akainuka na kuanza kumhudumia.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Akamgusa mkono, homa ikamwacha; naye akaondoka, akawatumikia.

Tazama sura Nakili




Mathayo 8:15
15 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, walipokuwa wakimzika mtu, angalia, waliona kikosi; wakamtupa yule mtu kaburini mwa Elisha; mara yule maiti alipoigusa mifupa ya Elisha, alifufuka, akasimama kwa miguu.


akanigusa kinywa changu kwa kaa hilo, akaniambia, Tazama, hili limekugusa midomo yako, na uovu wako umeondolewa, na dhambi yako imefunikwa.


nao wakamsihi waguse hata pindo la vazi lake tu; na wote waliogusa wakaponywa kabisa.


Yesu akawahurumia, akawagusa macho yao; mara wakapata kuona, wakamfuata.


Na Yesu alipofika nyumbani kwa Petro, akamwona mkwe wa Petro, mamaye mkewe, amelala kitandani akiugua homa.


Hata kulipokuwa jioni, wakamletea wengi wenye pepo; akawatoa pepo kwa neno lake, akawaponya wote waliokuwa wagonjwa,


Yesu akanyosha mkono, akamgusa, akisema Nataka; takasika. Na mara ukoma wake ukatakasika.


Na tazama, mwanamke aliyekuwa na ugonjwa wa kutoka damu muda wa miaka kumi na miwili, alikuja kwa nyuma, akaugusa upindo wa vazi lake.


Ndipo alipowagusa macho, akasema, Kwa kadiri ya imani yenu na itendeke kwenu.


Na mara walipotoka katika sinagogi, walifika nyumbani kwa Simoni na Andrea, pamoja na Yakobo na Yohana.


Naye akamhurumia, akanyosha mkono wake, akamgusa, akamwambia, Nataka, takasika.


Akamshika mkono, akapaza sauti, akisema Kijana, inuka.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo