Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 20:34 - Swahili Revised Union Version

34 Yesu akawahurumia, akawagusa macho yao; mara wakapata kuona, wakamfuata.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Basi, Yesu akawaonea huruma, akawagusa macho yao, na papo hapo wakaweza kuona, wakamfuata.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Basi, Yesu akawaonea huruma, akawagusa macho yao, na papo hapo wakaweza kuona, wakamfuata.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Basi, Yesu akawaonea huruma, akawagusa macho yao, na papo hapo wakaweza kuona, wakamfuata.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Isa akawahurumia na kuwagusa macho yao. Mara macho yao yakapata kuona, nao wakamfuata.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Isa akawahurumia na kuwagusa macho yao. Mara macho yao yakapata kuona, nao wakamfuata.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

34 Yesu akawahurumia, akawagusa macho yao; mara wakapata kuona, wakamfuata.

Tazama sura Nakili




Mathayo 20:34
20 Marejeleo ya Msalaba  

Kabla sijateswa mimi nilipotea, Lakini sasa nimelitii neno lako.


Ilikuwa vema kwangu kuwa niliteswa, Nipate kujifunza amri zako.


BWANA ni mwenye fadhili na huruma, Si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema,


Yesu akatoka, akaona mkutano mkuu, akawahurumia, akawaponya wagonjwa wao.


Yesu akawaita wanafunzi wake, akasema, Nawahurumia mkutano, kwa kuwa yapata siku tatu wamekaa pamoja nami, wala hawana kitu cha kula, tena sitaki kuwaaga wakiwa na njaa, wasije wakazimia njiani.


Wakamwambia, Bwana, twataka macho yetu yafumbuliwe.


Walipokaribia Yerusalemu, na kufika Bethfage, katika mlima wa Mizeituni, ndipo Yesu alipotuma wanafunzi wawili akiwaambia,


Akamgusa mkono, homa ikamwacha; naye akaondoka, akawatumikia.


Ndipo alipowagusa macho, akasema, Kwa kadiri ya imani yenu na itendeke kwenu.


Na alipowaona makutano, aliwahurumia, kwa sababu walikuwa wamechoka na kutawanyika kama kondoo wasio na mchungaji.


Akamtenga na mkutano faraghani, akatia vidole vyake masikioni mwake, akatema mate, akamgusa ulimi,


Mara hiyo akapata kuona, akamfuata, huku akimtukuza Mungu. Na watu wote walipoona hayo walimsifu Mungu.


Yesu akajibu akasema, Muwe radhi kwa hili. Akamgusa sikio, akamponya.


Bwana alipomwona alimwonea huruma, akamwambia, Usilie.


uwafumbue macho yao, na kuwageuza waiache giza na kuielekea nuru, waziache na nguvu za Shetani na kumwelekea Mungu; kisha wapate msamaha wa dhambi zao, na urithi miongoni mwao waliotakaswa kwa imani iliyo kwangu mimi.


Hivyo ilimpasa kufananishwa na ndugu zake katika mambo yote, apate kuwa kuhani mkuu mwenye rehema, mwaminifu katika mambo ya Mungu, ili afanye kafara ya suluhu kwa dhambi za watu wake.


Neno la mwisho ni hili; muwe na nia moja, wenye kuhurumiana, wenye kupendana kama ndugu, wasikitikivu, wanyenyekevu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo