Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 1:29 - Swahili Revised Union Version

29 Na mara walipotoka katika sinagogi, walifika nyumbani kwa Simoni na Andrea, pamoja na Yakobo na Yohana.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Wakatoka katika sunagogi, wakaenda moja kwa moja hadi nyumbani kwa Simoni na Andrea; Yakobo na Yohane walikwenda pamoja nao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Wakatoka katika sunagogi, wakaenda moja kwa moja hadi nyumbani kwa Simoni na Andrea; Yakobo na Yohane walikwenda pamoja nao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Wakatoka katika sunagogi, wakaenda moja kwa moja hadi nyumbani kwa Simoni na Andrea; Yakobo na Yohane walikwenda pamoja nao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Mara walipotoka katika sinagogi, walienda pamoja na Yakobo na Yohana hadi nyumbani mwa Simoni na Andrea.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Mara walipotoka katika sinagogi, walikwenda pamoja na Yakobo na Yohana hadi nyumbani kwa Simoni na Andrea.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

29 Na mara walipotoka katika sinagogi, walifika nyumbani kwa Simoni na Andrea, pamoja na Yakobo na Yohana.

Tazama sura Nakili




Marko 1:29
7 Marejeleo ya Msalaba  

Wakashika njia mpaka Kapernaumu, na mara siku ya sabato akaingia katika sinagogi, akafundisha.


Na mara palikuwapo ndani ya sinagogi lao mtu mwenye pepo mchafu; akapaza sauti,


Habari zake zikaenea haraka kote katika nchi zote kandokando ya Galilaya.


Naye mkwewe Simoni, mamaye mkewe, alikuwa kitandani, akiugua homa; na mara wakamwambia habari zake.


Yesu akamwambia, Mbweha wana pango, na ndege wa angani wana viota, lakini Mwana wa Adamu hana pa kujilaza kichwa chake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo