Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 27:12 - Swahili Revised Union Version

Lakini aliposhitakiwa na wakuu wa makuhani na wazee, hakujibu hata neno.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini makuhani wakuu na wazee walipokuwa wanamshtaki, hakujibu neno.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini makuhani wakuu na wazee walipokuwa wanamshtaki, hakujibu neno.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini makuhani wakuu na wazee walipokuwa wanamshtaki, hakujibu neno.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini viongozi wa makuhani na wazee walipomshtaki, hakujibu neno.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini viongozi wa makuhani na wazee walipomshtaki, hakujibu neno.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini aliposhitakiwa na wakuu wa makuhani na wazee, hakujibu hata neno.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 27:12
10 Marejeleo ya Msalaba  

Alionewa, lakini alinyenyekea, Wala hakufunua kinywa chake; Kama mwana-kondoo apelekwaye machinjoni, Na kama vile kondoo anyamazavyo Mbele yao wakatao manyoya yake; Naam, hakufunua kinywa chake.


Lakini, Yesu akanyamaza. Kuhani Mkuu akamwambia, Nakuapisha kwa Mungu aliye hai, utuambie kama wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu.


Ndipo Pilato akamwambia, Husikii ni mambo mangapi wanayoshuhudia juu yako?


Asimjibu hata neno moja, hata mtawala akastaajabu sana.


Akamwuliza maneno mengi, yeye asimjibu lolote.


Na fungu la Maandiko alilokuwa akilisoma ni hili, Aliongozwa kwenda machinjoni kama kondoo, Na kama vile mwana-kondoo alivyo kimya mbele yake yule amkataye manyoya, Vivyo hivyo yeye naye hafunui kinywa chake.


Yeye alipotukanwa, hakurudisha matukano; alipoteswa, hakutisha; bali alijikabidhi kwake yeye ahukumuye kwa haki.