Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:46 - Swahili Revised Union Version

Ondokeni, twende zetu! Tazama, yule anayenisaliti amekaribia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Amkeni; twendeni zetu. Tazameni! Anakuja yule atakayenisaliti.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Amkeni; twendeni zetu. Tazameni! Anakuja yule atakayenisaliti.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Amkeni; twendeni zetu. Tazameni! Anakuja yule atakayenisaliti.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Inukeni, twende zetu! Tazameni, msaliti wangu yuaja!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Inukeni, twende zetu! Tazameni, msaliti wangu yuaja!”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ondokeni, twende zetu! Tazama, yule anayenisaliti amekaribia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:46
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akawajia wanafunzi wake, akawaambia, Laleni sasa, mpumzike tazama, saa imekaribia, na Mwana wa Adamu anatiwa katika mikono ya wenye dhambi.


Basi alipokuwa katika kusema, tazama, Yuda, mmoja wa wale Kumi na Wawili akaja, na pamoja naye kundi kubwa wenye panga na marungu, wametoka kwa wakuu wa makuhani na wazee wa watu.


Ondokeni, twendeni zetu; tazama, yule anayenisaliti amekaribia.


Lakini nina ubatizo unipasao kubatiziwa, nami nina dhiki kama nini hata utimizwe!


Akawaambia, Nimetamani sana kuila Pasaka hii pamoja nanyi kabla ya kuteswa kwangu;


Lakini, tazama, mkono wake yeye anayenisaliti upo hapa pamoja nami mezani,


Ikawa, siku za kupaa kwake zilipokuwa karibu kutimia, yeye aliuelekeza uso wake kwenda Yerusalemu;


Lakini ulimwengu ujue ya kuwa nampenda Baba; na kama vile Baba alivyoniamuru; ndivyo nifanyavyo. Ondokeni, twendeni zetu.


Petro akageuka akamwona yule mwanafunzi aliyependwa na Yesu anafuata; (ndiye huyo aliyeegama kifuani pake wakati wa kula chakula cha jioni, akasema, Bwana, ni nani akusalitiye?)


Ndipo Paulo alipojibu, Mnafanya nini, kulia na kunivunja moyo? Kwa maana mimi, licha ya kufungwa, ni tayari hata kuuawa katika Yerusalemu kwa ajili ya jina lake Bwana Yesu.


Ikawa, hapo Mfilisti alipojiinua, akaenda akamkaribia Daudi, ndipo Daudi naye akapiga mbio, akalikimbilia jeshi ili akutane na yule Mfilisti.