Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 26:46 - Swahili Revised Union Version

46 Ondokeni, twende zetu! Tazama, yule anayenisaliti amekaribia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

46 Amkeni; twendeni zetu. Tazameni! Anakuja yule atakayenisaliti.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

46 Amkeni; twendeni zetu. Tazameni! Anakuja yule atakayenisaliti.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

46 Amkeni; twendeni zetu. Tazameni! Anakuja yule atakayenisaliti.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

46 Inukeni, twende zetu! Tazameni, msaliti wangu yuaja!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

46 Inukeni, twende zetu! Tazameni, msaliti wangu yuaja!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

46 Ondokeni, twende zetu! Tazama, yule anayenisaliti amekaribia.

Tazama sura Nakili




Mathayo 26:46
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akawajia wanafunzi wake, akawaambia, Laleni sasa, mpumzike tazama, saa imekaribia, na Mwana wa Adamu anatiwa katika mikono ya wenye dhambi.


Basi alipokuwa katika kusema, tazama, Yuda, mmoja wa wale Kumi na Wawili akaja, na pamoja naye kundi kubwa wenye panga na marungu, wametoka kwa wakuu wa makuhani na wazee wa watu.


Ondokeni, twendeni zetu; tazama, yule anayenisaliti amekaribia.


Lakini nina ubatizo unipasao kubatiziwa, nami nina dhiki kama nini hata utimizwe!


Akawaambia, Nimetamani sana kuila Pasaka hii pamoja nanyi kabla ya kuteswa kwangu;


Lakini, tazama, mkono wake yeye anayenisaliti upo hapa pamoja nami mezani,


Ikawa, siku za kupaa kwake zilipokuwa karibu kutimia, yeye aliuelekeza uso wake kwenda Yerusalemu;


Lakini ulimwengu ujue ya kuwa nampenda Baba; na kama vile Baba alivyoniamuru; ndivyo nifanyavyo. Ondokeni, twendeni zetu.


Petro akageuka akamwona yule mwanafunzi aliyependwa na Yesu anafuata; (ndiye huyo aliyeegama kifuani pake wakati wa kula chakula cha jioni, akasema, Bwana, ni nani akusalitiye?)


Ndipo Paulo alipojibu, Mnafanya nini, kulia na kunivunja moyo? Kwa maana mimi, licha ya kufungwa, ni tayari hata kuuawa katika Yerusalemu kwa ajili ya jina lake Bwana Yesu.


Ikawa, hapo Mfilisti alipojiinua, akaenda akamkaribia Daudi, ndipo Daudi naye akapiga mbio, akalikimbilia jeshi ili akutane na yule Mfilisti.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo