Luka 12:50 - Swahili Revised Union Version50 Lakini nina ubatizo unipasao kubatiziwa, nami nina dhiki kama nini hata utimizwe! Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema50 Ninao ubatizo ambao inanipasa niupokee; jinsi gani ninavyohangaika mpaka ukamilike! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND50 Ninao ubatizo ambao inanipasa niupokee; jinsi gani ninavyohangaika mpaka ukamilike! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza50 Ninao ubatizo ambao inanipasa niupokee; jinsi gani ninavyohangaika mpaka ukamilike! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu50 Lakini ninao ubatizo ambao lazima nibatizwe, nayo dhiki yangu ni kuu hadi ubatizo huo ukamilike! Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu50 Lakini ninao ubatizo ambao lazima nibatizwe, nayo dhiki yangu ni kuu mpaka ubatizo huo ukamilike! Tazama suraBIBLIA KISWAHILI50 Lakini nina ubatizo unipasao kubatiziwa, nami nina dhiki kama nini hata utimizwe! Tazama sura |