Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 26:32 - Swahili Revised Union Version

Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulieni Galilaya.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulieni Galilaya.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulieni Galilaya.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 26:32
13 Marejeleo ya Msalaba  

Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaonya wanafunzi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemu, na kupata mateso mengi kwa wazee na wakuu wa makuhani, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.


kisha watampeleka kwa Mataifa wapate kumdhihaki, na kumpiga mijeledi, na kumsulubisha; na siku ya tatu atafufuka.


Petro akajibu, akamwambia, Wajapochukizwa wote kwa ajili yako, mimi sitachukizwa kamwe.


Kisha Yesu akawaambia, Msiogope; nendeni, mkawaambie ndugu zangu waende Galilaya, ndiko watakakoniona.


Na wale wanafunzi kumi na mmoja wakaenda Galilaya hadi katika mlima ule aliowaagiza Yesu.


Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.


Lakini nendeni zenu, mkawaambie wanafunzi wake, na Petro, ya kwamba awatangulia kwenda Galilaya; huko mtamwona, kama alivyowaambia.


baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano pamoja; katika hao wengi wanaishi hata sasa, ila baadhi yao wamelala;