Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 16:7 - Swahili Revised Union Version

7 Lakini nendeni zenu, mkawaambie wanafunzi wake, na Petro, ya kwamba awatangulia kwenda Galilaya; huko mtamwona, kama alivyowaambia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Nendeni mkawaambie wanafunzi wake pamoja na Petro ya kwamba anawatangulieni kule Galilaya. Huko mtamwona kama alivyowaambieni.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Nendeni mkawaambie wanafunzi wake pamoja na Petro ya kwamba anawatangulieni kule Galilaya. Huko mtamwona kama alivyowaambieni.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Nendeni mkawaambie wanafunzi wake pamoja na Petro ya kwamba anawatangulieni kule Galilaya. Huko mtamwona kama alivyowaambieni.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Lakini nendeni mkawaambie wanafunzi wake pamoja na Petro, kwamba, ‘Anawatangulia kwenda Galilaya. Mtamwona huko kama alivyowaambia.’ ”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Lakini nendeni mkawaambie wanafunzi wake pamoja na Petro, kwamba, ‘Anawatangulia kwenda Galilaya. Huko ndiko mtamwona, kama alivyowaambia.’ ”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

7 Lakini nendeni zenu, mkawaambie wanafunzi wake, na Petro, ya kwamba awatangulia kwenda Galilaya; huko mtamwona, kama alivyowaambia.

Tazama sura Nakili




Marko 16:7
12 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.


Kisha Yesu akawaambia, Msiogope; nendeni, mkawaambie ndugu zangu waende Galilaya, ndiko watakakoniona.


Nanyi nendeni upesi, mkawaambie wanafunzi wake, Amefufuka katika wafu. Tazama, awatangulia kwenda Galilaya; ndiko mtakakomwona. Haya, nimekwisha waambia.


Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.


Ndipo wakamwacha, wakakimbia wote.


Wakatoka nje, wakakimbia kutoka kaburini; kwa maana wameingiwa na hofu na mshangao; wala hawakumwambia mtu neno, maana waliogopa. [


Baada ya hayo Yesu alijidhihirisha tena kwa wanafunzi wake, penye bahari ya Tiberia, naye alijidhihirisha hivi.


akaonekana siku nyingi na wale waliopanda naye kutoka Galilaya hadi Yerusalemu, ambao sasa ndio walio mashahidi wake mbele ya watu.


na ya kuwa alimtokea Kefa; tena na wale Kumi na Wawili;


hata kinyume cha hayo, ni afadhali mmsamehe na kumfariji, mtu kama huyo asije akamezwa katika huzuni yake ipitayo kiasi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo