Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 14:28 - Swahili Revised Union Version

28 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Lakini nikisha fufuka, nitawatangulieni kule Galilaya.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Lakini nikisha fufuka, nitawatangulieni kule Galilaya.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Lakini nikisha fufuka, nitawatangulieni kule Galilaya.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

28 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.

Tazama sura Nakili




Marko 14:28
9 Marejeleo ya Msalaba  

Tangu wakati huo Yesu alianza kuwaonya wanafunzi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemu, na kupata mateso mengi kwa wazee na wakuu wa makuhani, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.


Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia kwenda Galilaya.


Kisha Yesu akawaambia, Msiogope; nendeni, mkawaambie ndugu zangu waende Galilaya, ndiko watakakoniona.


Na wale wanafunzi kumi na mmoja wakaenda Galilaya hadi katika mlima ule aliowaagiza Yesu.


Nanyi nendeni upesi, mkawaambie wanafunzi wake, Amefufuka katika wafu. Tazama, awatangulia kwenda Galilaya; ndiko mtakakomwona. Haya, nimekwisha waambia.


Petro akamwambia, Hata wajapokunguwazwa wote, lakini siyo mimi.


Lakini nendeni zenu, mkawaambie wanafunzi wake, na Petro, ya kwamba awatangulia kwenda Galilaya; huko mtamwona, kama alivyowaambia.


Baada ya hayo Yesu alijidhihirisha tena kwa wanafunzi wake, penye bahari ya Tiberia, naye alijidhihirisha hivi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo