Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 24:41 - Swahili Revised Union Version

wanawake wawili watakuwa wakisaga; mmoja atwaliwa, mmoja aachwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kina mama wawili watakuwa wanasaga nafaka, mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kina mama wawili watakuwa wanasaga nafaka, mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kina mama wawili watakuwa wanasaga nafaka, mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanawake wawili watakuwa wanasaga kwa kinu cha mkono, naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wanawake wawili watakuwa wanasaga pamoja, naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

wanawake wawili watakuwa wakisaga; mmoja atwaliwa, mmoja aachwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 24:41
5 Marejeleo ya Msalaba  

na wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri watakufa, tangu yule mzaliwa wa kwanza wa Farao aketiye katika kiti chake cha enzi, hata mzaliwa wa kwanza wa huyo kijakazi aliye pale nyuma ya jiwe la kusagia; na wazaliwa wa kwanza wote wa wanyama.


Twaa mawe ya kusagia, usage unga; Vua utaji wako, ondoa mavazi yako, Funua mguu wako, pita katika mito ya maji.


Wakati ule watu wawili watakuwako shambani; mmoja atwaliwa, mmoja aachwa;


Wanawake wawili watakuwa wakisaga pamoja; mmoja atatwaliwa, mmoja ataachwa. [


Mtu awaye yote asitwae jiwe la kusagia, la juu wala la chini, kuwa rehani; kwani hivi ni kutwaa maisha ya mtu kuwa rehani.