Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 24:42 - Swahili Revised Union Version

42 Kesheni basi; kwa maana hamjui ni siku ipi atakayokuja Bwana wenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

42 Basi, kesheni, kwa maana hamjui siku atakayokuja Bwana wenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

42 Basi, kesheni, kwa maana hamjui siku atakayokuja Bwana wenu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

42 Basi, kesheni, kwa maana hamjui siku atakayokuja Bwana wenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

42 “Basi kesheni, kwa sababu hamjui ni siku gani atakapokuja Bwana wenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

42 “Basi kesheni, kwa sababu hamjui ni siku gani atakapokuja Bwana Mungu wenu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

42 Kesheni basi; kwa maana hamjui ni siku ipi atakayokuja Bwana wenu.

Tazama sura Nakili




Mathayo 24:42
17 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini kuhusu siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba peke yake.


Lakini fahamuni neno hili; kama mwenye nyumba angaliujua ule wakati mwizi atakaokuja, angalikesha, wala asingaliiacha nyumba yake kuvunjwa.


Kwa sababu hiyo ninyi nanyi jiwekeni tayari; kwa kuwa katika saa msiyotazamia Mwana wa Adamu yuaja.


Na hao walipokuwa wakienda kununua, bwana arusi akaja, nao waliokuwa tayari wakaingia pamoja naye arusini; mlango ukafungwa.


Basi kesheni, kwa sababu hamwijui siku wala saa.


Basi, jihadharini, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi, na ulevi, na masumbufu ya maisha haya; siku ile ikawajia ghafla, kama mtego unasavyo;


Basi, kesheni ninyi kila wakati, mkiomba, ili mpate kuokoka katika haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele za Mwana wa Adamu.


Naam, tukiujua wakati, kwamba saa ya kuamka katika usingizi imekwisha kuwadia; kwa maana sasa wokovu wetu uko karibu nasi kuliko tulipoanza kuamini


Kesheni, simameni imara katika imani, iweni na ujasiri, mkawe hodari.


Basi tusilale usingizi kama wengine, bali tukeshe, na kuwa na kiasi.


Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia; basi, iweni na akili, mkeshe katika sala.


Muwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka zunguka, akitafuta mtu ammeze.


(Tazama, naja kama mwizi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.)


Tufuate:

Matangazo


Matangazo