Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 22:36 - Swahili Revised Union Version

Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Mwalimu, ni amri ipi iliyo kuu katika sheria?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Mwalimu, ni amri ipi iliyo kuu katika sheria?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Mwalimu, ni amri ipi iliyo kuu katika sheria?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Mwalimu, ni amri ipi katika Torati iliyo kuu kuliko zote?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Mwalimu, ni amri ipi katika Torati iliyo kuu kuliko zote?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mwalimu, katika torati ni amri ipi iliyo kuu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 22:36
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nijapomwandikia sheria yangu katika amri makumi elfu, zimehesabiwa kuwa ni kitu kigeni.


basi asimheshimu baba yake au mama yake. Mkalitangua neno la Mungu kwa ajili ya mapokeo yenu.


Mmoja wao, mwanasheria, akamwuliza, akimjaribu;


Akamwambia, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote.


Lakini, ole wenu, Mafarisayo, kwa kuwa mwatoa zaka za mnanaa na mchicha na kila mboga, na huku mwaacha mambo ya adili, na upendo wa Mungu; iliwapasa kuyafanya hayo ya kwanza, bila kuyaacha hayo ya pili.