Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 20:3 - Swahili Revised Union Version

Akatoka mnamo saa tatu, akaona wengine wamesimama sokoni wasiokuwa na kazi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Akatoka mnamo saa tatu asubuhi, akaona watu wengine wamesimama sokoni, hawana kazi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Akatoka mnamo saa tatu asubuhi, akaona watu wengine wamesimama sokoni, hawana kazi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Akatoka mnamo saa tatu asubuhi, akaona watu wengine wamesimama sokoni, hawana kazi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

“Mnamo saa tatu akatoka tena, akawakuta wengine wamesimama sokoni bila kazi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

“Mnamo saa tatu akatoka tena, akawakuta wengine wamesimama sokoni bila kazi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akatoka mnamo saa tatu, akaona wengine wamesimama sokoni wasiokuwa na kazi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 20:3
12 Marejeleo ya Msalaba  

Uvivu humtia mtu katika usingizi mzito; Na nafsi yake mvivu itaona njaa.


Tazama, uovu wa dada yako, Sodoma, ulikuwa huu; kiburi, na kushiba chakula, na kufanikiwa, hayo yalikuwa ndani yake na binti zake; lakini hukuwasaidia maskini na wahitaji.


Naye alipokwisha kupatana na wafanya kazi kuwapa kutwa dinari, aliwapeleka katika shamba lake la mizabibu.


na hao nao akawaambia, Nendeni nanyi pia katika shamba langu la mizabibu, na iliyo haki nitawapa. Wakaenda.


Basi ilikuwa saa tatu, nao wakamsulubisha.


Basi bwana zake walipoona ya kuwa tumaini la faida yao limewapotea, wakawakamata Paulo na Sila, wakawakokota mpaka sokoni mbele ya wakuu wa mji;


Sivyo mnavyodhani; watu hawa hawakulewa, kwa maana ni saa tatu ya mchana;


Tena, pamoja na hayo, hujifunza kuwa wavivu, wakizungukazunguka nyumba kwa nyumba; wala si wavivu tu, lakini ni wachongezi na wadadisi, wakinena maneno yasiyowapasa.


ili msiwe wavivu, bali mkawe kama hao wazirithio ahadi kwa imani na uvumilivu.