Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 15:9 - Swahili Revised Union Version

Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.’”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.’”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.’”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Huniabudu bure; nayo mafundisho yao ni maagizo ya wanadamu tu.’”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Huniabudu bure; nayo mafundisho yao ni maagizo ya wanadamu tu.’ ”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 15:9
24 Marejeleo ya Msalaba  

Kweli, watu wote hupita kama kivuli; Wao hujisumbua bure tu; Wanajirundikia mali wala hawajui ni nani atakayeirithi.


Hakika nimejisafisha moyo wangu bure, Na kunawa mikono yangu nisitende dhambi.


Usilitaje bure jina la BWANA, Mungu wako, maana BWANA hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.


Bwana akanena, Kwa kuwa watu hawa hunikaribia na kuniheshimu kwa vinywa vyao, bali mioyo yao wamefarakana nami, na kicho chao walichonacho kwangu ni maagizo ya wanadamu waliyofundishwa;


mimi nami nitawatenda jambo hili; nitaamrisha uje juu yenu utisho, hata kifua kikuu na homa, zitakazoharibu macho yenu, na kuidhoofisha roho; nanyi mtapanda mbegu yenu bure, kwa kuwa adui zenu wataila.


na nguvu zenu mtazitumia bure; kwa kuwa nchi yenu haitazaa mazao yake, wala miti ya nchi haitazaa matunda yake.


Mmesema, Kumtumikia Mungu hakuna faida; na, Tumepata faida gani kwa kuyashika maagizo yake, na kwa kwenda kwa huzuni mbele za BWANA wa majeshi?


Akawaita makutano akawaambia


Nao waniabudu bure, Wakifundisha mafundisho Yaliyo maagizo ya wanadamu,


na kwa hiyo mnaokolewa; ikiwa mnayashika sana maneno niliyowahubiria isipokuwa mliamini bure.


Neno lolote ninalowaagiza lizingatieni, usilizidishe, wala usilipunguze.


wala wasiangalie hadithi na nasaba zisizo na kikomo, zinazozua maswali wala si mpango wa Mungu ulio katika imani; basi uwaambie hivyo.


wasisikilize hadithi za Kiyahudi, wala maagizo ya watu waukataao ukweli.


Msichukuliwe na mafundisho ya namna nyingine nyingine, na ya kigeni; maana ni vizuri moyo ufanywe imara kwa neema, wala si kwa vyakula, ambavyo wao waliokwenda navyo hawakupata faida.


Lakini wataka kujua, wewe mwanadamu usiye kitu, kwamba imani pasipo matendo haizai?


Namshuhudia kila mtu ayasikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mtu yeyote akiyaongeza, Mungu atamwongezea hayo mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.


Basi Daudi alikuwa amesema, Hakika ni bure nilivyokuwa nikilinda nyikani yote aliyo nayo mtu huyu, asipotewe na kitu chochote cha mali yake yote; naye amenilipa mabaya badala ya mema.