Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 15:15 - Swahili Revised Union Version

Basi Petro akajibu, akamwambia, Tueleze mfano huo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Petro akasema, “Tufafanulie huo mfano.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Petro akasema, “Tufafanulie huo mfano.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Petro akasema, “Tufafanulie huo mfano.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Petro akasema, “Tueleze maana ya huu mfano.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Petro akasema, “Tueleze maana ya huu mfano.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Basi Petro akajibu, akamwambia, Tueleze mfano huo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 15:15
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi ninyi sikilizeni mfano wa mpanzi.


Kisha Yesu akawaaga makutano, akaingia katika nyumba; wanafunzi wake wakamwendea, wakasema, Tufafanulie mfano wa magugu ya shambani.


Yesu akasema, Hata sasa ninyi nanyi mngali hamna akili?


wala pasipo mfano hakusema nao; lakini akawaeleza wanafunzi wake mwenyewe mambo yote kwa faragha.


Hata alipoingia nyumbani, ameuacha mkutano, wanafunzi wake wakamwuliza kuhusu ule mfano.


Basi wanafunzi wake wakasema, Tazama, sasa wasema waziwazi, wala huneni mithali yoyote.