Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Mathayo 14:21 - Swahili Revised Union Version

Nao waliokula walikuwa wanaume wapatao elfu tano, bila kuhesabu wanawake na watoto.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Jumla ya waliokula ilikuwa wanaume wapatao 5,000, bila kuhesabu wanawake na watoto.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Jumla ya waliokula ilikuwa wanaume wapatao 5,000, bila kuhesabu wanawake na watoto.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Jumla ya waliokula ilikuwa wanaume wapatao 5,000, bila kuhesabu wanawake na watoto.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Idadi ya watu waliokula walikuwa wanaume wapatao elfu tano, bila kuhesabu wanawake na watoto.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Idadi ya watu waliokula walikuwa wanaume wapatao 5,000, bila kuhesabu wanawake na watoto.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao waliokula walikuwa wanaume wapatao elfu tano, bila kuhesabu wanawake na watoto.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Mathayo 14:21
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wakala wote wakashiba; wakayaokota mabaki ya vipande vya mikate, vikapu kumi na viwili, vimejaa.


Mara akawalazimisha wanafunzi wake wapande katika mashua na kutangulia mbele yake kwenda ng'ambo, wakati yeye alipokuwa akiwaaga mkutano.


Na walioila ile mikate walikuwa wanaume elfu tano.


Yesu akasema, Waketisheni watu. Na mahali pale palikuwa na majani tele. Basi wanaume wakaketi, wapata elfu tano jumla yao.


Wala hapakuwa na mtu mmoja miongoni mwao mwenye mahitaji; kwa sababu watu wote waliokuwa na viwanja au nyumba waliviuza, wakaileta thamani ya vitu vile vilivyouzwa,


Lakini wengi katika hao waliosikia lile neno waliamini; na hesabu ya wanaume ikawa kama elfu tano.


Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu.